Jumapili, 6 Julai 2014

Hamilton ashindwa vibaya mbio za magari,,, aomba radhi


Lewis Hamilton akionekana ameshika nafasi ya sita kwenye mashindano ya British Grand Prix, yaliyofanyika Silverstone, England.
Lewis Hamilton akionekana ameshika nafasi ya sita kwenye mashindano ya British Grand Prix, yaliyofanyika Silverstone, England.
Lewis Hamilton ameomba radhi kwa mashabiki wake baada ya kuharibu nafasi yake ya kushinda mbio za British Grand Prix baada ya kuacha barabara yake ya mwisho siku ya Jumamosi ambayo ingemletea mafanikio.
Hamilton alionekana kuchukua nafasi ya pili kama ilivyo miaka mingine mbele ya mashabiki wake wa nyumbani ila barabara yake ilionekana kuharibiwa na mvua.
Mpinzani wake Nico Rosberg alinyakua nafasi hiyo wakati wa mwisho, huku Lewis akionekana kukata rufaa, na kujiamini kuwa ameshafanya vya kutosha kuanza mbio za leo Jumapili akiwa mbele yao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni