Alhamisi, 31 Julai 2014
ISRAEL INAKIUKA SHERIA ZA KIMATAIFA
Mkuu wa haki za binaadam wa Umoja wa Mataifa, Navi Pillay, ameituhumu Israel kwa kuvunja kwa makusudi sheria za kimataifa, katika harakazi zake za kijeshi Gaza.
Bi Pillay amesema Israel inaweza ikatakiwa kuwajibika kwa uhalifu wa kivita kufuatia kushambulia shule, hospitali, makazi na hata ofisi za Umoja wa Mataifa.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni