Ijumaa, 1 Agosti 2014
Twiga afa baada ya kujinyonga barabarani
Shirika la kutetea haki za wanyama la Afrika Kusini limeanza uchunguzi kuhusiana na kifo cha twiga baada ya kuumia wakati akisafirishwa kwenye gari. Watu walioshuhudia tukio hilo wanasema twiga mmoja kati ya wawili waliokuwa kwenye lori, aligonga kichwa chake katika barabara moja mjini Johannesburg.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni