Sports and Entertainment

Alhamisi, 11 Desemba 2014

Dr.dre ndiye mwanamuziki alieingiza pesa nyingi kuliko wote Duniani

Hakuna maoni :
null

Baada ya kuongoza kwenye orodha ya ‘Forbes’
Hip-Hop Cash Kings’ miezi kadhaa iliyopita ,
producer mkongwe, rapper na mfanyabiashara Dr.
Dre ameongoza tena kwenye orodha nyingine ya
Forbes ya wanamuziki wanaolipwa zaidi ‘Forbes
World’s Highest Paid Musicians 2014’.
Dr. Dre amekamata nafasi hiyo kwa kutengeneza
$ 620 million mwaka huu, Kiasi ambacho
kimechangiwa zaidi na deal yake ya Beats By Dre
na Apple.
Amemzidi Beyonce aliyekamata nafasi ya pili kwa
kuingiza dola milioni 115 ambazo zimetokana na
ziara yake ya Mrs Carter World Tour, mauzo ya
album yake ya kushtukiza pamoja na
endorsements deals zikiwemo za Pepsi na H&M.
Jay Z yuko kwenye orodha hii lakini amefungana
na Diddy pamoja na Bruno Mars kwenye nafasi
ya 12 kwa kutengeneza $60 million.
Katika kutengeneza orodha hii Jarida la Forbes
limezingatia vitu vifuatavyo, mapato yatokanayo
na ziara za muziki, mauzo ya muziki, publishing,
endorsements, merchandise pamoja na biashara
nyingine zilizofanywa na wanamuziki katika
kipindi cha June 2013-June 2014.
Hii ni orodha kamili ya Forbes World’s Highest
Paid Musicians 2014:
1. Dr. Dre ($620 million)
2. Beyoncé ($115 million)
3. The Eagles ($100 million)
4. Bon Jovi ($82 million)
5. Bruce Springsteen ($81 million)
6. Justin Bieber ($80 million)
7. One Direction ($75 million)
8. Paul McCartney ($71 million)
9. Calvin Harris ($66 million)
10. Toby Keith ($65 million)
11. Taylor Swift ($64 million)
12. Jay Z ($60 million)(tie)
12. Diddy ($60 million)(tie)
12. Bruno Mars ($60 million)(tie)
15. Justin Timberlake ($57 million)
16. Pink ($52 million)
17. Michael Bublé ($51 million)
18. Rihanna ($48 million)
19. Rolling Stones ($47 million)
20. Roger Waters ($46 million)
21. Elton John ($45 million)
22. Kenny Chesney ($44 million)
23. Katy Perry ($40 million)
24. Jason Aldean ($37 million)(tie)
24. Jennifer Lopez ($37 million)(tie)
26. Miley Cyrus ($36 million)(tie)
26. Celine Dion ($36 million)(tie)
28. Muse ($34 million)(tie)
28. Luke Bryan ($34 million)(tie)
30. Lady Gaga ($33 million)(tie)
30. Drake ($33 million)(tie)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni