Jumatano, 15 Oktoba 2014
TANZIA : PROF. MAZRUI AAGA DUNIA
Msomi maarufu wa Kenya Profesa Ali Alamin Mazrui amefariki dunia leo asubuhi jijini New York, Marekani akiwa na umri wa miaka 81.
Mazrui alikuwa profesa katika chuo kikuu cha Binghamton jijini New York.
Ameandika vitabu 30 ambavyo vimezungumzia masuala ya uongozi na siasa za Afrika na Kimataifa pamoja na masomo ya kiislamu. Je, unamkumbuka vipi msomi huyo?
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi. Aamin.
Chanzo: DW Kiswahili.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni