Microsoft attempted something different and daring with Windows 8. It introduced a whole new interface and means of interaction with your PC that was identical to a smartphone or tablet. It threw out the “Start” menu and mouse-driven interface people had used for decades in favor of a touch-driven interface with tiles, some of which received active information updates.
Jumanne, 29 Julai 2014
SEVEN MISTAKES MEN MAKE
Mistake 1: Assuming You Know How to Please a Woman

some men assume that the way they've learned to please one woman works for all women. Not so.
DUDUBAYA : Diamond na Ali Kiba Mnapendwa sana wadogo zangu, Pigeni Hela
Dudubaya anajulikana kama mmoja wa Wasanii wa siku nyingi bongoflevani ambae pamoja na headlines zake binafsi huwa anasikika mara chache akizungumzia au kutoa ushauri kwa ishu kadhaa za Wasanii wenzake.
Jumatatu, 28 Julai 2014
Watu Maarufu waliozaliwa tarehe 28 Julai

Daniel Cleverest, Miaka 21

Kelvin Rwezaura, Miaka 21

Trinitus Kalatunga, Miaka 21
Jumapili, 27 Julai 2014
Jaydee na Diamond washinda tuzo
Tuzo za African Music Magazine ambazo mwaka huu zilihusisha kazi za Watanzania Diamond Platnumz na Lady Jay Dee zimefanyika na habari njema ni kwamba Diamondameshinda tuzo mbili ambazo ni Msanii bora wa Afrika Mashariki na Tuzo ya Wimbo bora wa kushirikiana ‘Number One Rmx’ Aliyomshirikisha Davido Kutoka Nchini Nigeria.
Jisajili kwenye:
Maoni
(
Atom
)


