Bonanza

Sports and Entertainment

Alhamisi, 29 Januari 2015

Obama azua gumzo Saud Arabia

Hakuna maoni :
Michelle Obama wakati wa Ziara ya Rais Obama Saudi Arabia    Mkewe Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama alipowasili nchini Saudi Arabia na mumewe bila ya kujitanda kichwa chake kwa kitambaa, wengi walitarajia kwamba mitandao ya kijamii nchini...
Read more

Jumanne, 13 Januari 2015

Ronaldo wins Ballon d'or

Hakuna maoni :
Real Madrid attacker Cristiano Ronaldo has won the 2014 Fifa Ballon d'Or ahead of Bayern Munichgoalkeeper Manuel Neuer and Barcelona forward Lionel Messi, scooping up the prestigious individual award for the third time in his career.Ronaldo...
Read more

Alhamisi, 11 Desemba 2014

Dr.dre ndiye mwanamuziki alieingiza pesa nyingi kuliko wote Duniani

Hakuna maoni :
nullBaada ya kuongoza kwenye orodha ya ‘Forbes’ Hip-Hop Cash Kings’ miezi kadhaa iliyopita , producer mkongwe, rapper na mfanyabiashara Dr. Dre ameongoza tena kwenye orodha nyingine ya Forbes ya wanamuziki wanaolipwa zaidi ‘Forbes World’s Highest Paid Musicians 2014’. Dr. Dre amekamata nafasi hiyo kwa kutengeneza $ 620 million mwaka huu, Kiasi ambacho kimechangiwa zaidi na deal yake...
Read more

Jumamosi, 6 Desemba 2014

wanawake wasisitizwa kutofumbia macho rushwa ya n gono

Hakuna maoni :
Mwanadada wa muziki wa kizazi kipya Meninah Abdulkareem ‘Meninah,’ amewatolea uvivu ‘maprodyuza’ wanaopenda rushwa ya ngono, akisema kwake hawatafanikiwa. Amesema anakerwa na tabia hiyo na inaweza kumfanya msanii akate  tamaa ya kufanya muziki kwa ajili ya tabia hizo. Akizungumza...
Read more

Mchezaji afariki baada ya kupigwa kichwa

Hakuna maoni :
Mchezaji Franco Nieto aliyefariki baada ya kupiwa na jiwe kwenye kichwa wakati wa mechi nchini Argentina Mchezaji wa Argentina Franco Nieto ,mwenye umri wa miaka 33 amefariki baada ya kupigwa kwenye kichwa wakati wa mechi siku ya jumamosi. Nieto ,nahodha wa kilabu ya kijimbo ya Tiro...
Read more

Tata Martino ajutia msimu wake mbaya Barca

Hakuna maoni :
Kocha wa zamani wa magwiji wa soka la Hispania, Barcelona ; Tata Martino amedai kwamba anajutia msimu mbaya aliokumbana nao wakati yuko katika klabu hiyo, Martino mwenye miaka 52 amesema kuwa licha ya kufanya kwake hovyo lakini angepewa muda hadi sasa mambo yangekuwa shwari Catalan "Kutokana...
Read more

Sserenkuma atua Simba

Hakuna maoni :
Mshambuliaji matata wa kilabu ya Gor Mahia nchini Kenya Dan Sserenkuma aihama kilabu hiyo na kujiunga na Simba SC ya Tanzania Aliyekuwa Mshambuliiaji wa mabingwa wa soka nchini Kenya Gor Mahia Dan Serenkuma amejiunga na kilabu ya Tanzania Simba SC. Raia huyo wa Uganda alijiunga na...
Read more