Sports and Entertainment

Jumamosi, 2 Agosti 2014

Chris Brown amshambulia alie kuwa mpenzi wake

Hakuna maoni :

Mara baada Chris Brown kuachana na Kurrueche , mkaali huyo mwenye track inayosumbua Dunia kwasasa ya ‘Loyal’ iliyopo kwenye albam yake mpya ya X- File,ameamua kumshambulia Ex wake kwa kutumia maneno kwenye ukurasa wake wa twitter.
baadhi ya posti za chris brown ambazo baada ya muda alizifuta
baadhi ya posti za chris brown ambazo baada ya muda alizifuta
ter.
Staa huyo alidai  kuwa hakupendezwa na kitendo cha Kurreche kwenda kufanya mahojiano  na waandishi wa habari na
kuyaelezea maisha binafsi ya staa huyo na kumshtumu staa huyo kama mtu asiyekuwa mwaminifu katika uhusiano wao .
Pia staa huyo  alimwambia Ex wake kuwa anapaswa kuwa mwangalifu sehemu anazoenda kuomba ushauri juu ya
mahusiano, kwasababu washauri wengine ni waongo na hawana uzoefu juu ya mapenzi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni