Jumapili, 30 Novemba 2014
Kutana na bilionea wa kichina aliyelipa fadhila kwa wanakijiji kwa kufanya kufuru hii...
Kutoa ni moyo na wala sio utajiri. Bilionea mmoja Raia wa China ameamua kuboreshea makazi ya watu waishio katika kijiji alichozaliwa baada ya kubomoa nyumba zao walizokuwa wakiishi awali na kisha kuwajengea maghorofa ya kisasa ikiwemo na kuwapatia mahitaji ya msingi kama vile chakula kwa baadhi ya wasiojiweza.
Bwana Xiong Shuihua alizaliwa katika kijiji cha Xiongkeng kilichopo kwenye mji wa Xinyu kusini mwa China na kusema kwamba familia yake mara zote imekuwa vizuri baada na kuungwa mkono na wakazi wa hapo katika kipindi chake cha utotoni.
Inaelezwa kuwa baada ya Bwana Shuihua kutengeneza mamilioni ya fedha kupitia sekta ya vyuma aliamua kujitolea kuisaidia jamii yake ambapo zaidi ya familia 72 zimeweza kupata makazi ya uhakika na kudumu.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni