Bonanza

Sports and Entertainment

Jumatano, 3 Mei 2017

TAARIFA KWA UMMA UTEUZI WA WAGOMBEA UBUNGE EALA

Maoni 1 :


Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) iliyokutana Zanzibar katika kikao chake cha siku moja, Mei 2, mwaka huu, imewateua wafuatao kuwa wawakilishi wa CHADEMA kugombea Ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA);

1. Profesa Abdalla Safari
2. Salum Mwalim
3. Ezekia Wenje
4. Josephine Lemoyan
5. Lawrence Masha
6. Pamela Massay

Walioteuliwa watakamilisha hatua zingine za uteuzi kwa mujibu wa taratibu na Kanuni za Bunge na Uchaguzi wa Bunge la Afrika Mashariki.

Imetolewa leo Jumatano Mei 3, 2017 na;

Tumaini Makene

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
CHADEMA


Jumamosi, 28 Machi 2015

Matumla ambonda mchina

Hakuna maoni :

Mudy Matumla akijitahidi kumbana vyema mpinzani wake
Mohamed Matumla akijitahidi kumbana vyema mpinzani wake
Bondia Mohamed Matumla amefanikiwa kutoka kimasomaso baada ya kumchapa kwa points bondia mwenzake kutoka nchini China Wang Xin Hua katika mpambano wa raundi 10 uliofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jana usiku.
Mpambano huo ulikuwa ni wakuwania nafasi ya kucheza katika pambano la utangulizi kwenye mpambano mkali na unaosubiriwa kwa hamu na wapenzi wengi wa masumbwi duniani kati ya mabondia Floyd Mayweather, Jr. na Manny Pacquiao unakaochezwa mapema Mei 2, mwaka huu, huko Las Vegas, Marekani.

Lewis Hamilton aongoza kufuzu Malaysia Grand Prix

Hakuna maoni :


Bingwa wa dunia Lewis Hamilton ataanza wa kwanza kwenye mashindano ya Malaysia Grand Prix
Bingwa wa dunia Lewis Hamilton ataanza wa kwanza kwenye mashindano ya Malaysia Grand Prix
Lewis Hamilton alishika nafasi ya juu kwa mara ya pili tangu aanze msimu wa 2015 kwenye mashindano ya kufudhu Malaysian Grand Prix yaliyokumbwa na mvua.
Sebastian  Vettel
Sebastian Vettel
Bingwa huyo wa dunia alimshinda nyota wa pili Ferrari Sebastian Vettel kwa sekunde 0.074 huko Sepang International Circuit.
Nico Rosberg
Nico Rosberg
Dereva mwenza wa Hamilton wa kampuni ya Mrcedes Nico Rosberg ataanza wan ne mbele ya dereva wa Red Bull Daniel Ricciardo ambaye ni wa nne.
Hali ya mvua na vimweko huko Malaysia
Hali ya mvua na vimweko huko Malaysia
MADEREVA WALIOFUDHU MBIO ZA MALAYSIA GRAND PRIX
  1. Lewis Hamilton (Mercedes) 1:49.834
  2. Sebastian Vettel (Ferrari) 1:49.908
  3. Nico Rosberg (Mercedes) 1:50.299
  4. Daniel Ricciardo (Red Bull) 1:51.541
    Daniel Ricciardo
    Daniel Ricciardo
  5. Daniil Kvyat (Red Bull) 1:51.951
  6. Max Verstappen (Toro Rosso) 1:51.981
  7. Felipe Massa (Williams) 1:52.473
  8. Romain Grosjean (Lotus) 1:52.981
    Kinda wa Toro Rosso, Max Verstappen
    Kinda wa Toro Rosso, Max Verstappen
  9. Valtteri Bottas (Williams) 1:53.179
  10. Marcus Ericsson (Sauber) 1:53.261
    Kimi Raikkonen
    Kimi Raikkonen
  1. Kimi Raikkonen (Ferrari) 1:42.173
  2. Pastor Maldonado (Lotus) 1:42.198
  3. Nico Hulkenburg (Force India) 1:43.023
  4. Sergio Perez (Force India) 1:43.469
    Jenson Button
    Jenson Button
  5. Carlos Sainz (Toro Rosso) 1:43.701
  6. Felipe Nasr (Sauber) 1:41.308
  1. Jenson Button (McLaren) 1:41.636
  2. Fernando Alonso (McLaren) 1:41.746
    Fernando Alonso
    Fernando Alonso
  3. Roberto Merhi (Marussia) 1:46.746
  4. Will Stevens (Marussia)
F1

Alhamisi, 29 Januari 2015

Apple yapata faida dola bilion 18.8

Hakuna maoni :
Simu za Iphone 6 zimekuwa zikinunuliwa sana na kuwa chachu ya faida za kampuni ya Apple
Kampuni ya kutengeza vifaa vya elektroniki, Apple, imetangaza kupata faida ya dola bilioni 18.8 katika kipindi cha miezi minne ya mwisho mwaka jana , na kuifanya kuwa kampuni ya umma iliyopata faida kubwa zaidi duniani.


Apple bila shaka imeipiku,ExxonMobil iliyopata faida ya dola bilioni 15.9 mwaka 2012 kulingana na ripoti ya kampuni ya Standard and Poor's.

Inaarifiwa hii ndio faida kubwa zaidi katika historia ya kampuni hio kuwahi kushuhudiwa.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, mdadaisi mkuu wa kiuchumi wa kampuni hio, Tim Cook alisema kuwa hitaji la simu za iphone duniani ni kubwa kuindukia.

Hata hivyo, alisema kwamba hitaji la tabiti au iPad haliko juu kama ilivyotarajiwa na liliendelea kushuka kwa asilimia 18 mwaka 2014 ikifananishwa na mwaka 2013.
Kadhalika hitaji la simu ya iPhone 6 Plus lilionekana kua chachu katika faida za kampuni hio.


Hata hivyo, Apple haikufafanua mauzo ya simu ya iPhone 6 na simu nyinginezo.
Hisa za kampuni ya Apple zilipanda kwa asilimia 5 baada ya soko la hisa Marekani kufungwa Jumanne.

Mmoja wa wanaofuatilia mauzo ya bidhaa za Apple sokoni, na mhariri wa mtandao wa "Cult of Mac" aliambia BBC kwamba mauzo ya iPhone yamekuwa juu sana ikilinganishwa na matarajio.

Akosa mchumba, ajioa

Hakuna maoni :

Yasmin Eleby hakupata mchumba wa kumuoa mtu ambaye alitaka awe mume wake atakapofikisha miaka 40--kwa hivyo akafanya kitendo ambacho kimewashangaza wengi, aliamua kujioa mwenyewe. 

Kwa mujibu wa mtandao wa MySanAntonio.com,Eleby aliahidi kwamba ikiwa hatapata mchumba wakati atakapokuwa ametimiza miaka 40, basi atafanya harusi ya mtu mmoja yaani atajioa ili kusherehekea miaka yake 40. 

Duru zinasema kuwa mwanamke Eleby alifanya harusi yake mwenyewe katika makavazi ya Houston akiambatana na jamaa na familia yake na wageni wengine waalikwa.

Kwa sherehe hii, dadake Eleby ndiye aliendesha sherehe hio, kwani ni kinyume na sheria kwa mtu kujioa mwenyewe. Harusi ya kawaida ni kati ya watu wawili.

Katika picha za kanisani sherehe ilionekana kuwa ya kawaida bila ya mchumba.

Kulingana na John Guess Jr afisaa mkuu wa makavazi hayo, sherehe hiyo ilionekana kuwa bila tashwishi na kuonekana kama jambo la kawaida kwani makavazi hayo huwakumbatia watu wa jinsia mbali mbali kuendesha harusi zao hapo.

Aliposikia kwamba Eleby, ambaye anaishi na kufanya kazi ugenini alikuwa anapanga kujioa mwenyewe, aliharakisha kwenda katika eneo hilo kujionea mwenyewe.

"Eleby alipofikisha umri wa miaka 40 bila ya kupata mpenzi na mtu mwenye nia ya kumuoa, aliamua angejioa mwenyewe,''alisema Guess Jr ambaye anasema harusi hiyo imewashangaza wengi na kuwa gumzo katika mitandao ya kijamii.

Anasema anakubaliana na Eleby na mtazamo wake wa mapenzi kwamba mtu anaweza kujipenda na kujioa kwa kukosa wa kumuoa kwani cha muhimu ni mtu kujipenda kwanza kabla ya kupendwa.

"watu wengu huolewa bila ya kutafakari mara mbili kuhusu yule anayemuoa, '' Guess Jr alisema.
Anadhani kwamba pindi watu watakapomuona Eleby anavyojishughulikia mwenyewe, huenda akapata ushindani.
"ni mrembo, anafanya kazi kwa bidii na anasifika duniani na pia anaona uamuzi wake umewapa gumzo watu wengi. ''

Orodha ya watu wenye fedha zaidi Duniani , kiasi ,umri na uraia wao

Hakuna maoni :






#1 Bill Gates $79 B             59                     United States
#2 Carlos Slim Helu & family $71.9 B
75
Mexico
#3 Warren Buffett $70.9 B
84
United States
#4 Amancio Ortega $62.6 B
78
Spain
#5 Larry Ellison $52.9 B
70
United States
#6 Christy Walton & family $41.6 B
60
United States
#7 Jim Walton $40.7 B
67
United States
#8 Charles Koch $40.4 B
79
United States
#8 David Koch $40.4 B
74
United States
#10 Liliane Bettencourt & family $40 B
92
France

VIDEO: Cristiano Ronaldo amshangaza mtoto mtaani kwa kucheza nae bila kumjua

Hakuna maoni :

Obama azua gumzo Saud Arabia

Hakuna maoni :

Michelle Obama wakati wa Ziara ya Rais Obama Saudi Arabia 
 
Mkewe Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama alipowasili nchini Saudi Arabia na mumewe bila ya kujitanda kichwa chake kwa kitambaa, wengi walitarajia kwamba mitandao ya kijamii nchini humo ingewaka moto kwa mingon'ono.

Lakini mambo yalikuwa tofauti maana kimya kilikuwa kikuu. 

Ingawa vyombo kadhaa vya habari Ulaya, viliripoti kuhusu utata mkubwa kutokea kwenye mitandao ya kijamii, alama ya njia ya reli kwenye mtandao wa Twitter kwa lugha ya kiarabu...ikimaanisha ....''Michelle Obama bila mtandio''...ujumbe huo ilisambazwa kwenye mtandao huo zaidi ya mara 2,5000.

Hii sio idadi kubwa ya watu waliousambaza ujumbe huo lakini pia sio ndogo sana katika nchi yenye watumiaji wengi wa Twitter.

Pia inaarifiwa ujumbe huo ulizidiwa nguvu na ujumbe mwingine uliotumwa kwenye Twitter dhidi ya ziara ya Rais Obama nkatika ufalme huo.

''Mfalme Salman amwacha Obama na kwenda kuomba,'' huu ndio ulikuwa ujumbe mwingine uliosambazwa sana kwenye Twitter kuhusu ziara ya Obama nchini humo.
Ujumbe huo: "Mfalme Salman amwacha Obama na kwenda kuomba,'' uliwavutia zaidi ya watu 170,000.
Kuna baadhi ya viongozi waliowahi kwnda Saudia bila ya kufunika vichwa vyao
Wananchi katika ufalme huo walisambaza ujumbe huo kama njia yao ya kuonyesha wlaivyofurahishwa na mfalme mpya, Salman kumwacha Obama na kwenda kusali,kama ilivyoonekana kwenye video iliyowekwa kwenye Youtube.

''Huyu ndiye mwanamume aliyemwacha kiongozi wa nchi muhimu zaidi duniani akimsubiri wakati akienda kusali'', aliandika mtu mmoja kwenye mtandao wa Twitter.

Jumanne, 13 Januari 2015

Ronaldo wins Ballon d'or

Hakuna maoni :
Cristiano Ronaldo wins Fifa Ballon d'Or
Real Madrid attacker Cristiano Ronaldo has won the 2014 Fifa Ballon d'Or ahead of Bayern Munichgoalkeeper Manuel Neuer and Barcelona forward Lionel Messi, scooping up the prestigious individual award for the third time in his career.

Ronaldo enjoyed a hugely successful 2014, in which he guided Madrid to Champions League glory by netting a record 17 goals in one campaign, and earned 37.66 per cent of the votes.

Additionally, the prolific attacker played an integral part in the Santiago Bernabeu side's Copa del Rey win by netting three goals in six appearances, even if he missed the final against Barcelona due to injury.

On an individual level, the 29-year-old won the Liga top scorer award by scoring 31 goals in 30 appearances, which also saw him crowned joint-winner of the European Golden Shoe together with Luis Suarez.

Ronaldo becomes the seventh player in history to successfully defend his Ballon d'Or title after Johan Cruyff, Kevin Keegan, Karl-Heinz Rummenigge, Michel Platini, Marco van Basten and Messi.

The Portugal international was first voted the world's best in 2008, when he pipped Messi and Fernando Torres to the coveted trophy. He then had to settle for second spot in 2009, 2011 and 2012 before winning the award a second time in 2013, this time ahead of Messi and Franck Ribery.

The former Manchester United star has moved level with Cruyff, Platini and Van Basten on three wins, with only Messi ahead of him on four Ballon d'Or trophies.

"I want to thank my mother, my family. I would like to thank all those who voted for me, my coach, my fellow players, the president of the club," Ronaldo commented while collecting the award.

"It has been an unforgettable year. To win this trophy, a trophy of this kind, is something unique, and like I say, I want to continue working as I have so far, trying to go on and win more titles both individually and as a team, for my mother, for my father who is up there looking at me, my son, and to become better. 

"I would like to say to the Portuguese: I never thought I would win this trophy on three separate occasions. Of course it is something that is always with me - I want to become one of the greatest players of all time and I hope to get there. I want to thank you all," concluded the Madrid star before leaving the stage with a loud roar.

Messi, meanwhile, made it to the podium for the seventh time in succession after he was crowned all-time top goalscorer of La Liga and the Champions League in 2014, and amassed 15.76% of the final vote.

Neuer missed out on the chance to become the first goalkeeper to win the award since Lev Yashin in 1963 after guiding Germany to World Cup glory and winning the Bundesliga title and DFB-Pokal with Bayern. He earned 15.72% of the vote.

Alhamisi, 11 Desemba 2014

Dr.dre ndiye mwanamuziki alieingiza pesa nyingi kuliko wote Duniani

Hakuna maoni :
null

Baada ya kuongoza kwenye orodha ya ‘Forbes’
Hip-Hop Cash Kings’ miezi kadhaa iliyopita ,
producer mkongwe, rapper na mfanyabiashara Dr.
Dre ameongoza tena kwenye orodha nyingine ya
Forbes ya wanamuziki wanaolipwa zaidi ‘Forbes
World’s Highest Paid Musicians 2014’.
Dr. Dre amekamata nafasi hiyo kwa kutengeneza
$ 620 million mwaka huu, Kiasi ambacho
kimechangiwa zaidi na deal yake ya Beats By Dre
na Apple.
Amemzidi Beyonce aliyekamata nafasi ya pili kwa
kuingiza dola milioni 115 ambazo zimetokana na
ziara yake ya Mrs Carter World Tour, mauzo ya
album yake ya kushtukiza pamoja na
endorsements deals zikiwemo za Pepsi na H&M.
Jay Z yuko kwenye orodha hii lakini amefungana
na Diddy pamoja na Bruno Mars kwenye nafasi
ya 12 kwa kutengeneza $60 million.
Katika kutengeneza orodha hii Jarida la Forbes
limezingatia vitu vifuatavyo, mapato yatokanayo
na ziara za muziki, mauzo ya muziki, publishing,
endorsements, merchandise pamoja na biashara
nyingine zilizofanywa na wanamuziki katika
kipindi cha June 2013-June 2014.
Hii ni orodha kamili ya Forbes World’s Highest
Paid Musicians 2014:
1. Dr. Dre ($620 million)
2. Beyoncé ($115 million)
3. The Eagles ($100 million)
4. Bon Jovi ($82 million)
5. Bruce Springsteen ($81 million)
6. Justin Bieber ($80 million)
7. One Direction ($75 million)
8. Paul McCartney ($71 million)
9. Calvin Harris ($66 million)
10. Toby Keith ($65 million)
11. Taylor Swift ($64 million)
12. Jay Z ($60 million)(tie)
12. Diddy ($60 million)(tie)
12. Bruno Mars ($60 million)(tie)
15. Justin Timberlake ($57 million)
16. Pink ($52 million)
17. Michael Bublé ($51 million)
18. Rihanna ($48 million)
19. Rolling Stones ($47 million)
20. Roger Waters ($46 million)
21. Elton John ($45 million)
22. Kenny Chesney ($44 million)
23. Katy Perry ($40 million)
24. Jason Aldean ($37 million)(tie)
24. Jennifer Lopez ($37 million)(tie)
26. Miley Cyrus ($36 million)(tie)
26. Celine Dion ($36 million)(tie)
28. Muse ($34 million)(tie)
28. Luke Bryan ($34 million)(tie)
30. Lady Gaga ($33 million)(tie)
30. Drake ($33 million)(tie)

Jumamosi, 6 Desemba 2014

wanawake wasisitizwa kutofumbia macho rushwa ya n gono

Hakuna maoni :
Msanii wa kizazi kipya Meninah Abdulkareem akiwa nyumbani kwake


Mwanadada wa muziki wa kizazi kipya Meninah Abdulkareem ‘Meninah,’ amewatolea uvivu ‘maprodyuza’ wanaopenda rushwa ya ngono, akisema kwake hawatafanikiwa.
Amesema anakerwa na tabia hiyo na inaweza kumfanya msanii akate  tamaa ya kufanya muziki kwa ajili ya tabia hizo.
Akizungumza juzi, Menina alisema si jambo jema kwa maprodyuza kufanya hivyo kwa sababu inawavunja moyo wasanii wachanga.
“Nasikitishwa mno na hali kama hiyo kuendelea kwenye soko la muziki na kama huwezi kumsaidia binadamu mwenzako ni bora useme kuliko kutaka rushwa ya ngono.
Meninah aliendelea kusema kamwe, hawezi kukubaliana na hali hiyo na amewashauri  wasanii wengine wa kike kupambana vikali dhidi ya jambo hilo.
“Sitakubaliana na rushwa ya ngono na wasanii wa kike tunapaswa kutolifumbia macho jambo hili,” alisisitiza Menina.

Mchezaji afariki baada ya kupigwa kichwa

Hakuna maoni :
Mchezaji Franco Nieto aliyefariki baada ya kupiwa na jiwe kwenye kichwa wakati wa mechi nchini Argentina
Mchezaji wa Argentina Franco Nieto ,mwenye umri wa miaka 33 amefariki baada ya kupigwa kwenye kichwa wakati wa mechi siku ya jumamosi.
Nieto ,nahodha wa kilabu ya kijimbo ya Tiro federal alishambuliwa na genge baada ya mechi kati ya wapinzani wao wa jadi Chacarita Juniors katika mji wa Aimogasta kazkazini magharibi mwa Argentina.
Mechi hiyo ilisimamishwa kwa dakika 15 kabla ya kukamilika baada ya refa kuwapa kadi nyekundu wachezaji wanane kwa kupigana.
Mwaka huu watu 15 wamefariki katika ghasia zilizosababishwa na soka nchini Argentina,Binamu wa Nieto,Pablo Nieto amesema kuwa watu watatu walimzunguka mchezaji huyo alipokuwa akielekea katika gari lake na mkewe na mtoto wao wa mwezi mmoja.
Walimpiga kwa ngumi na mateke kabla ya mmoja ya watu hao kumpiga na jiwe katika kichwa na kumwacha bila fahamu.
Alifanyiwa upasuaji siku ya jumanne lakini akafariki siku ya jumatano.
Afisa mkuu wa polisi katika eneo hilo Fabian Bordon ameviambia vyombo vya habari kwamba watu watatu wamekamatwa kutokana na shambulizi hilo.
Ghasia zinazosababishwa na soka ni tatizo kubwa nchini Argentina.
Kulingana na shirika moja lilisokuwa la kiserikali Salvemos el Futbol,vifo vinavyosababishwa na ghasia za soka vimeongezeka mwaka huu.
Washukiwa wakuu ni genge la Barras Bravas ambao hudhibiti maneo ya kukalia katika viwanja vya mpira na barabara karibu na viwanja hivyo.

Tata Martino ajutia msimu wake mbaya Barca

Hakuna maoni :
Martino: I regret everything I did at Barcelona

Kocha wa zamani wa magwiji wa soka la Hispania, Barcelona ; Tata Martino amedai kwamba anajutia msimu mbaya aliokumbana nao wakati yuko katika klabu hiyo, Martino mwenye miaka 52 amesema kuwa licha ya kufanya kwake hovyo lakini angepewa muda hadi sasa mambo yangekuwa shwari Catalan


"Kutokana na mawasiliano yetu ya kwanza,  ningefanya karibu kila kitu tofauti," aliiambia Marca.

 "Mimi sikutoa mifano yoyote, lakini mimi najuta mambo mengi yaliyotokea wakati huo, ingawa wameweza imenisaidia kujifunza na si kurudia makosa kama hayo."

Kocha huyo wa zama ni wa Paraguay alikwenda mbele zaidi na kumpigia chapuo Leo Messi katika tuzo ya mchezaji bora wa Dunia na kusisitiza kuwa shirikisho la soka Duniani lifikirie tena juu ya tuzo hizo

"Baadhi ya makocha hawaangalii sana juu ya suala hilo," alisema.

 "Mimi ni mmoja wao. Kama Messi ni katika anashindana, nataka ashinde. nitampigia kura yeye

Labda tunapaswa kufikiria upya juu ya nani anapiga kura kwa ajili ya tuzo hii. Kuna mambo mengi binafsi."

Hata hivyo Messi ambae hakushinda taji lolote msimu uliopita anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa mshindi wa kombe la Dunia mlinda mlango Manuel Neuer pamoja na mtambo wa mabao wa  mabingwa wa Ulaya Real Madrid, Mreno Cristiano Ronaldo ambapo mshindi atatangazwa januari 12

Sserenkuma atua Simba

Hakuna maoni :

Mshambuliaji matata wa kilabu ya Gor Mahia nchini Kenya Dan Sserenkuma aihama kilabu hiyo na kujiunga na Simba SC ya Tanzania
Aliyekuwa Mshambuliiaji wa mabingwa wa soka nchini Kenya Gor Mahia Dan Serenkuma amejiunga na kilabu ya Tanzania Simba SC.
Raia huyo wa Uganda alijiunga na kilabu hiyo ya Ligi ya Vodacom na kutamatisha kazi yake ya miaka mitatu katika ligi ya Kenya ambapo alianza kwa kuichezea Nairobi City Stars kabla ya kujiunga na Gor ambapo alikuwa kiungo muhimu katika ushindi wa ligi mara mbili.
''Nimefurahia miaka miwili na nusu katika kilabu ya Gor Mahia,lakini huu ndio wakati muhimu wa kuaga.Tumefurahia nyakati maalum na mafanikio pamoja,na habiki wamenisaidia sana hususan wakati mgumu'',Mfungaji huyo wa mabao mengi katika ligi ya Kenya aliandika katika mtandao wake wa Twitter.
''Ningependa kumshukuru kila mtu katika usimamizi wa kilabu kwa kunipa fursa muhimu ili kuonyesha kipaji changu.
Dan Sserenkuma
Mchezaji huyo wa kimataifa katika timu ya Uganda Cranes alipigwa picha katika mtandao wa kilabu hiyo akifanyiwa majaribio pamoja na kupimwa afya na sasa anatarajiwa kujiunga na wachezaji wenzake katika barabara ya Msimbazi mjini Daresalaam tayari kwa maandalizi ya mechi za ligi ya Tanzania.
Wakati huohuo imebainika kwamba Kilabu ya Gor Mahia ilishindwa kumzuia mchezaji huyo.
Duru zimearifu kuwa mchezaji huyo aliandamwa na kilabu ya Gor mahia kufuatia ripoti za vyombo vya habari kwamba alitarajiwa kujiunga na Simba.
Lakini Gor Mahia haikuwasilisha ombi lolote la fedha kwa kuwa mchezaji huyo tayari alikuwa ameweka kandarasi yenye thamani ya shilingi millioni 3 pamoja na mshahara wa ksh.250,000 kwa mwezi na kilabu hiyo ya Tanzania ambapo atajiunga na mchezaji mwengine wa Gor Mahia Mungai Kiongera.

Lady Gaga Reveals How She Really Felt When She Met Taylor Swift

Hakuna maoni :
lady gaga, taylor swift


Lady Gaga and Taylor Swift are two of the biggest names in the business right now and as each of them knows all too well, being a pop diva sometimes means rivalries with other pop stars.

When Gaga first met Taylor, her first impression was not all that flattering. Gaga admits that she thought T.Swift was "full of s**t" when she first met her and Taylor said she was a huge fan. Fair assumption, there is a lot of a**-kissing that happens in their industry.

"It was at the AMAs or something - her and I were sitting next to each other, and she goes, 'Oh my god! I love ARTPOP! And I love 'Applause!' 'Applause is my favorite song!'" she revealed on Howard Stern's Howard 100. "I was thinking, 'Yeah, yeah, yeah, this chick is full of s**t,' right?"

Actually, she wasn't full of s**t at all. Gaga explained that her stylist called her shortly after their encounter and said that Tay was blasting Mother Monster's music and that she was "dancing and posing."

After the call, she said she changed her "full of s**t" first impression. "I said to myself, 'I like this girl.' You know why? Because she said the same thing to my face as she said behind my back...Yeah, I like her."

Wiz Khalifa -- I Might Have a Sex Tape, But I Don't Want You to See It!

Hakuna maoni :


Wiz Khalifa Sex TapeWiz Khalifa banged a Playboy chick last night ... which sounds awesome -- except for the part where it was recorded without Wiz knowing ... and might be shopped around as a celeb sex tape.

Wiz posted a few photos Thursday morning showing him partying with Playboy model Carla Howe ... who appeared with Wiz in the 2012 movie "Mac & Devin Go to High School."

Wiz and Carla definitely did the deed -- no one's denying that -- but a source close to the situation says a camera was rolling during their fling. The source says the footage is now being offered around Hollywood ... with the hopes of releasing the next big sex tape.

One problem -- we're told Wiz had NO IDEA he was being recorded at the time. Sources close to Wiz tell us if anyone does try to release the video ... he's ready to lawyer up to block it. He's already deleted his pics with Carla.

We've reached out to Wiz's rep -- so far, no word back.

Beware the one night stand.

Sijali maneno ya wasionitakia mema

Hakuna maoni :
Malkia wa miondoko ya taarabu Isha Ramadhani akiwa na wasanii wenzake Barnaba pamoja na Khadija Kopa

Malkia wa miondoko ya taarabu Isha Ramadhani akiwa na wasanii wenzake Barnaba pamoja na Khadija Kopa
MALKIA wa miondoko ya taarabu Isha Ramadhani ‘Isha Mashauzi,’ amesema hajali maneno ya watu wenye nia ya kumporomosha kimuziki.
Amesema kuwa anajiamini yeye ni msanii mzuri, mwenye mbinu za kumshawishi kila shabiki aweze, kupenda tungo zake.
Akizungumza kutoka jijini Dar es Salaam, Isha alisema anafahamu ana wapinzani wengi wenye mawazo ya kumporomosha kimuziki na kumuombea mabaya.
Lakini hawataweza na wataendelea kusubiri sana maana mambo yanazidi kumnyookea.
Malkia huyo wa taarabu aliendelea kusema ninajua nina wapinzani ambao hawakosi la kusema na mimi ninajiamini na mambo yangu yanazidi kunyooka, na nina imani bendi yangu itaendelea kusonga mbele.

Chris Brown nae achepuka kwenye "Project"

Hakuna maoni :
chris-brown-and-karruecheUjumbe alioandika mchumba wa mwanamuziki Chris Brown, Karruece kwenye ukurasa wake wa Twitter huenda ukawa haujawashtua  mashabiki wao hasa kutokana na wawili hao kuzoeleka kuwa katika mapenzi ya kuachana na kurudiana mara kwa mara.
”Looks like I’m a single lady again” aliandika Karruece akimaanisha kwa sasa amerudi tena sokoni.
Ujumbe wa mwanadada huyo unakuja kufuatia siku za hivi karibuni Chris Brown kunaswa na kamera za mapaparazi akiwatongoza warembo wawili nje ya klabu moja ya usiku sambamba na ushahidi wa picha uliodai kuwa alivunja nao amri ya sita.
Mpaka sasa Sio Chris Brown wala Karruece aliyetangaza rasmi kuvunjika kwa penzi lao.
Wacha Muvi iendelee, huenda labda nao walikuwa kwenye Projekti.

Van Gaal apewa Ruksa sasa

Hakuna maoni :
Luis Van Gaal akimpa maelekezo Wayne Rooney
Mkuu wa manchester united Louis van Gaal, amepewa ruksa ya kutumia pesa bila ukomo katika kusajili wachezaji anawataka ili kuimarisha kikosi chake.
Man united wametumia £150 milioni kwa usajili wa wachezaji sita Ander Herrera, Luke Shaw, Marcos Rojo, Daley Blind, Radamel Falcao,na Angel Di Maria, aliyevunja rekodi ya usajili nchi uingereza kwa ada ya £59 milioni.
Wakiwa katika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi kuu man united wanachangamoto ya kushiriki michuano ya klabu bigwa ulaya msimu ujao.
Bodi ina imani zaidi kwa kocha wake wa sasa kurejesha bahati old traffold kuliko kocha aliyetimuliwa David Moyes.
Van gaal amepewa mamlaka ya kuamua hatma ya mabeki Rafael, Phil Jones, Chris Smalling, Jonny Evans kiungo Anderson mshambuliaji Robin van Persie,ambao mikataba yao inakwisha miezi 18 ijayo.
Klabu wanatarajia kuanzisha mazungumzo ya kandarasi ya kipa David De Gea, ambae kandarasi yake inafika kikomo 2016,pia kumpa ofa ya kandarasi mpya kiungo Michael Carrick kuendelea kubaki.

Sahau kuhusu Diamond na Kim Kardashian, Gangnam wavunjaji rekodi za YouTube

Hakuna maoni :



Na Kim Kardashian angekuwa amejeribu, lakini wimbo wa Gangnam ndio umevunja rekodi ya Internet.
Wimbo huo Umetazamwa mara bilioni mbili. Nambari kubwa ya watu kuwahi kutazama wimbo au chochote kwenye Youtube.
Wamiliki wa You Tube wanasema hawajawahi kutarajia kitu chochote kutazamwa hadi hapo. Wamelazimika kuongeza uwezo wa mtandao huo kuhifadhi data hadi 62 kutoka kwa 34.